Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 2:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezae kuondoa dhambi isipokuwa mmoja, ndive Mungu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 “Anathubutuje kusema hivyo? Anamkufuru Mungu! Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 “Anathubutuje kusema hivyo? Anamkufuru Mungu! Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 “Anathubutuje kusema hivyo? Anamkufuru Mungu! Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 “Kwa nini mtu huyu anasema hivi? Huyu anakufuru! Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 “Kwa nini mtu huyu anasema hivi? Huyu anakufuru! Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”

Tazama sura Nakili




Marko 2:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Marra kuhani mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru: tuna haja gani ya mashahidi wengine? Sasa mmesikia kufuru yake:


Baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru.


Mmesikia kufuru yake; mwaonaje? Wote wakamhukumu kuwa amepasiwa kufa.


Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao,


Marra Yesu akafahamu rohoni mwake kama wanafikiri hivi nafsini mwao, akawaambia, Mbona mnafikiri hivi mioyoni mwenu?


Wale waandishi na Mafarisayo wakaanza kutafakari wakanena, Nani huyu anaesema kufuru? Nani awezae kuondoa dhambi, isipokuwa mmoja ndiye Mungu?


Na wale walioketi pamoja nae wakaanza kusema ndani ya mioyo yao, Nani huyu hatta akasamehe dhambi?


Wayahudi wakamjibu wakinena, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi mawe, bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe, uliye mwana Adamu, wajifanya nafsi yako u Mungu.


je! yeye ambae Baba alimtakasa akamtuma ulimwenguni, ninyi mwamwambia, Unakufuru, kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo