Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 2:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Baadhi ya waalimu wa sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Baadhi ya waalimu wa sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Baadhi ya waalimu wa sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Basi baadhi ya walimu wa Torati waliokuwa wameketi pale wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Basi baadhi ya walimu wa Torati waliokuwa wameketi huko wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura Nakili




Marko 2:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, dhambi zako zimeondolewa.


Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezae kuondoa dhambi isipokuwa mmoja, ndive Mungu?


Yesu akafahamu, akawaambia, Mbona mnabishana kwa sababu hamna mikate? Hamfahamu bado, wala hamjaelewa? Mioyo yenu i migumu hatta sasa?


tukiangusha mawazo na kiila kitu kilichoinuka, kijiinuacho jun ya elimu ya Mungu; na tukifanya mateka fikara zote zipate kumtii Kristo:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo