Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 2:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Bassi yeye aliye Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ana uwezo hata juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ana uwezo hata juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ana uwezo hata juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura Nakili




Marko 2:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Mwana wa Adamu udiye Bwana wa sabato.


Akawaambia, Sabato ilikuwa kwa ajili ya mwana Adamu, si mwana Adamu kwa ajili ya sabato.


AKAINGIA tena katika sunagogi: na palikuwako huko mtu mwenye mkono umepooza:


Akawaambia, Ni halali siku ya sabato kutenda mema, au kutenda mabaya? kuokoa roho au kuua? Wakanyamaza.


Akawaambia ya kwamba, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato pia.


Yesu akawajibu, Baba yangu anatenda kazi hatta sasa, nami ninatenda kazi.


Na ilikuwa sabato hapo Yesu alipofanya tope na kumfumbua macho.


Bassi baadhi ya Mafarisayo wakanena, Mtu huyu hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakanena, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo?


akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajiii ya kanisa,


Nalikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo