Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 2:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Yesu akawaambia, Wana wa arusi wawezaje kufunga maadam Bwana arusi yupo pamoja nao? Maadam Bwana arusi yupo pamoja nao hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Yesu akajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kufunga wakati bwana arusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana arusi hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Yesu akajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kufunga wakati bwana arusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana arusi hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Yesu akajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kufunga wakati bwana arusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana arusi hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Isa akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kufunga wakati angali pamoja nao? Wakati bwana arusi bado yuko pamoja nao, hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Isa akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kufunga wakati angali pamoja nao? Wakati bwana arusi bado yuko pamoja nao, hawawezi kufunga.

Tazama sura Nakili




Marko 2:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Wana wa arusi wawezaje kuomboleza, maadam Bwana arusi yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja atakapoondolewa bwana arusi; udipo watakapofunga.


Wanafunzi wake Yohana nao wa Mafarisayo walikuwa wakifunga: wakaja, wakamwambia, Kwa nini wanafunzi wa Yohana na wanafunzi wra Mafarisayo hufunga, bali wanafunzi wako hawafungi?


Lakini siku zitakuja atakapoondolewa Bwana arusi, ndipo watakapofunga siku zile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo