Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 16:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Lakini enendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya: huko mtamwona, kama alivyowaambia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Mtamwona huko kama alivyowaambia.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko mtamwona, kama alivyowaambia.’ ”

Tazama sura Nakili




Marko 16:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitatangulia mbele yenu kwenda Galilaya.


Yesu akawaambia, Msiogope: enendeni, mkawaambie ndugu zangu waemle Galilaya, ndiko watakakoniona.


Shikeni njia upesi, kawaambieni wanafunzi wake, Amefufuka katika wafu; Tazama, anatangulia mbele yenu kwenda Galilaya; huko mtamwona: haya, nimewaambieni.


Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.


Wote wakamwacha, wakakimbia.


Wakatoka humo, wakakimbia kutoka kaburini: kwa maana waliingia tetemeko na ushangao: wala hawakumwambia mtu neno, maana waliogopa.


BAADA ya haya Yesu alijionyesha tena kwa wanafunzi wake, penye bahari ya Tiberia; nae alijionyesha hivi.


akaonwa siku nyingi nao waliopanda nae kutoka Galilaya hatta Yerusalemi, na hao ndio walio sasa mashahidi wake mbele va watu.


na ya kuwa alionekana na Kefa; tena na wathenashara;


hatta, kiuyume cha hiyo, ni afadhali mmsamehe na kumfariji, mtu kama huyu asije akatoswa katika huzuni ipitayo kiasi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo