Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 16:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Na wakiingia kaburini wakaona kijana ameketi upande wa kuume, amevaa vazi jeupe: wakastaajabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Walipoingia kaburini, walimwona kijana mmoja aliyevaa vazi jeupe, ameketi upande wa kulia; wakashangaa sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Walipoingia kaburini, walimwona kijana mmoja aliyevaa vazi jeupe, ameketi upande wa kulia; wakashangaa sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Walipoingia kaburini, walimwona kijana mmoja aliyevaa vazi jeupe, ameketi upande wa kulia; wakashangaa sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi upande wa kuume, nao wakastaajabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi upande wa kuume, nao wakastaajabu.

Tazama sura Nakili




Marko 16:5
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na sura yake ilikuwa kama umeme, na mavazi yake meupe kama thuluji.


Wakashangaa wote hatta wakaulizana, wakinena, Nini hii? Elimu hii mpya ni elimn gani? Maana kwa mamlaka awaamuru pepo wachafu nao wakamtii!


Akamchukua Petro na Yakobo na Yohana pamoja nae, akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.


Hatta walipotazama, wakaona ya kuwa lile jiwe limekwisha kufingirishwa; nalo lilikuwa kubwa nmo.


marra makutano yote wakimwona wakashangaa wakamwendea mbio, wakamsalimu.


Zakaria akafadhaika alipomwona, khofu ikamwingia.


Bassi ndipo akaingia nae mwanafunzi yule mwingine aliyekuwa wa kwanza wa kufika kaburini, akaona, akaamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo