Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 16:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 wakasemezana wao kwa wao, Nani atakaetufingirishia lile jiwe kutoka mlangoni mwa kaburi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Nao wakawa wanaambiana, “Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Nao wakawa wanaambiana, “Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Nao wakawa wanaambiana, “Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka ingilio la kaburi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?”

Tazama sura Nakili




Marko 16:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta assubuhi mapema, siku ya kwanza ya sabato, wakaenda kaburini, jua lilipochomoza;


Hatta walipotazama, wakaona ya kuwa lile jiwe limekwisha kufingirishwa; nalo lilikuwa kubwa nmo.


HATTA siku ya kwanza ya sabato Mariamu Magdalene akaenda kaburini alfajiri, kungali giza bado, akaliona jiwe limeondolewa kaburini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo