Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 16:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Na hawa wakaenda zao wakawapa khabari wale wengine: wala hawakuwasadiki hawa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Nao pia wakaenda, wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Nao pia wakaenda, wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Nao pia wakaenda, wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.

Tazama sura Nakili




Marko 16:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipomwona, wakamsujudia; lakini wengine waliona shaka.


Na hawa waliposikia kama yu hayi akaonwa nae, hawakusadiki.


Baadae akaonekana na wale edashara walipokuwa wakila, akawalaumu kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki waliomwona alipofufuka.


Akamwambia, Wasiposikia Musa na manabii, ajapoondoka mtu katika wafu, hawatashawishwa.


Maneno yao yakaonekana kuwa ni upuzi kwao, wala hawakuwasadiki.


Bassi, wakiwa bado kuamini kwa furaha, wakitaajabu, akawaambia, Mna kitu cha kula hapa?


Bassi wanafunzi wengine wakamwambia, Tumemwona Bwana. Akawaambia, Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika alama za misumari, na kutia mkono wangu uhavuni mwake, sitaamini kabisa.


Bassi ndipo akaingia nae mwanafunzi yule mwingine aliyekuwa wa kwanza wa kufika kaburini, akaona, akaamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo