Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 16:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Na hawa waliposikia kama yu hayi akaonwa nae, hawakusadiki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Lakini waliposikia kwamba Isa yu hai na kwamba Mariamu alikuwa amemwona, hawakusadiki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Lakini waliposikia kwamba Isa yu hai na kwamba Maria alikuwa amemwona, hawakusadiki.

Tazama sura Nakili




Marko 16:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipomwona, wakamsujudia; lakini wengine waliona shaka.


Akamjibu, akanena, Ee kizazi kisichoamini, niwe kwenu hatta lini? nichukuliane nanyi hatta lini? Mleteni kwangu.


Maneno yao yakaonekana kuwa ni upuzi kwao, wala hawakuwasadiki.


Bassi, wakiwa bado kuamini kwa furaha, wakitaajabu, akawaambia, Mna kitu cha kula hapa?


Bassi wanafunzi wengine wakamwambia, Tumemwona Bwana. Akawaambia, Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika alama za misumari, na kutia mkono wangu uhavuni mwake, sitaamini kabisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo