Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 15:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Bassi katika siku kuu huwafungulia mfungwa mmoja, wamtakae.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.

Tazama sura Nakili




Marko 15:6
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mwajua ya kuwa baada ya siku mbili itakuwa pasaka, na Mwana wa Adamu atasalitiwa apate kusulibiwa.


Wakanena, Sio wakati wa siku kuu, isije ikatokea ghasia katika watu.


Palikuwa na mtu aitwae Barabba, amefungwa pamoja na watu waliofanya fitina na kufanya uuaji katika fitina.


Bassi yule mwanafunzi mwingine aliyejulika na kuhani mkuu akatoka akasema na mwanamke aliye mngoje mlango, akamleta Petro ndani.


Bassi ndipo akamtia mikononi mwao asulibishwe. Bassi wakampokea Yesu:


Na miaka miwili ilipotimia. Feliki akampokea Porkio Festo atawale badala yake. Na Feliki, akitaka kuwafanyia Wayahudi fadhili, akamwacha Paolo amefungwa.


Lakini Festo akitaka kujipendekeza kwa Wayahudi akamjibu Paolo, akisema, Wataka kwenda Yerusalemi, ukahukumiwe huko mbele yangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo