Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 15:47 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

47 Mariamu Magdalene na Mariamu wa Yose wakapatazama alipowekwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 Maria Magdalene na Maria mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.

Tazama sura Nakili




Marko 15:47
8 Marejeleo ya Msalaba  

Miongoni mwao alikuwamo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo na Yose, na mama yao wana wa Zebedayo.


Walikuwako hapo Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, wameketi kulielekea kaburi.


SABATO ilipokwisha, ikipambazuka siku ya kwanza ya juma, akaenda Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, kulitazama kaburi.


Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; katika hawa alikuwa Mariamu Magdalene, na Mariamu mama wa Yakobo mdogo na wa Yose, na Salome:


Akanunua saanda, akamshusha, akamfungia ile saanda, akamweka katika kaburi lililochongwa mwambani: akafingirisha jiwe mbele ya mlango wa kaburi.


HATTA sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu wa Yakobo na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka.


Wanawake wakafuatana nao, wale waliokuja pamoja nae kutoka Galilaya, wakalitazama kaburi na jinsi ulivyowekwa mwili wake. Wakarudi wakafanya tayari manukato na marhamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo