Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 15:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Pilato akamwuliza tena akinena, Hujibu neno? Tazama mambo mangapi wanayokushitaki!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Pilato akamwuliza tena Yesu, “Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Pilato akamwuliza tena Yesu, “Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Pilato akamwuliza tena Yesu, “Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”

Tazama sura Nakili




Marko 15:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kuhani mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudiani?


Ndipo Pilato akamwambia, Husikii mambo mangapi wanayokushuhudia?


Makuhani wakamshitaki mengi.


Wala Yesu hakujibu neno tena, hatta Pilato akataajabu.


Bassi Pilato akamwambia, Husemi na mimi? Hujui ya kuwa nina mamlaka ya kukusulibisha na nina mamlaka ya kukufungua?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo