Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 15:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Hatta wakiisha kumdhihaki, wakamvua lile vazi jekundu, wakamvika nguo zake mwenyewe; wakamchukua nje wamsulibishe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Baada ya kumdhihaki, walimvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Baada ya kumdhihaki, walimvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Baada ya kumdhihaki, walimvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Walipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Walipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.

Tazama sura Nakili




Marko 15:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokwisha kumfanyia dhihaka, wakalivua lile vazi, wakamvika nguo zake, wakamchukua kumsulibi.


Wakampiga kichwa kwa unyasi, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudu.


Wakamtumikisha mtu aliyekuwa akipita, Simon Mkurene, akitoka mashamba, baba wa Iskander na Rufo, auchukue msalaba wake.


Bassi ndipo akamtia mikononi mwao asulibishwe. Bassi wakampokea Yesu:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo