Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 15:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Pilato akamwuliza, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajihu, akamwambia, wewe unasema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Pilato akamwuliza Yesu, “Je, wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Pilato akamwuliza Yesu, “Je, wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Pilato akamwuliza Yesu, “Je, wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Pilato akamuuliza, “Je, wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi?” Isa akajibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Pilato akamuuliza, “Je, wewe ndiwe Mfalme wa Wayahudi?” Isa akajibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili




Marko 15:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

wakinena, Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyola yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudu.


Pilato akajibu tena akawaambia, Bassi wataka nimtendeni huyu mnenae kuwa Mfalme wa Wayahudi?


wakaanza kumsalimu, Salamu Mfalme wa Wayahudi!


Anwani ya mshitaka wake iliandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDU.


Makuhani wakamshitaki mengi.


Pilato akawajibu, akisema, Mnataka niwafungulie mfalme wa Wayahudi?


Nakuagiza mbele za Mungu avipae vitu vyote uzima, na mbele za Kristo Yesu aliyeungama maungamo yale mazuri mbele ya Pontio Pilato,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo