Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 15:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Wakampiga kichwa kwa unyasi, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Wakampiga kichwani kwa mwanzi, wakamtemea mate; wakampigia magoti na kumsujudia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Wakampiga kichwani kwa mwanzi, wakamtemea mate; wakampigia magoti na kumsujudia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Wakampiga kichwani kwa mwanzi, wakamtemea mate; wakampigia magoti na kumsujudia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wakampiga kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake, wakamsujudia kwa kumdhihaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wakampiga kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake, wakamsujudia kwa kumdhihaki.

Tazama sura Nakili




Marko 15:19
32 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamtemea mate, wakautwaa ule unyasi, wakampiga kichwa.


na watamhukumu afe, watamtia mikononi mwa mataifa, nao watamdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumtemea mate, na kumwua: na siku ya tatu atafufuka.


Wengine wakaanza kumtemea mate, na kumfunika uso, na kumpiga konde, na kumwambia, Fanya unabii. Watumishi wakampiga makofi.


wakaanza kumsalimu, Salamu Mfalme wa Wayahudi!


Hatta wakiisha kumdhihaki, wakamvua lile vazi jekundu, wakamvika nguo zake mwenyewe; wakamchukua nje wamsulibishe.


Akajihu akawaambia, Ni kweli Eliya yuaja kwanza, na kutengeneza yote; lakini, pamoja na haya ameandikwaje Mwana wa Adamu ya kwamba atateswa mengi na kudharanliwa?


Na wale watu waliomshika Yesu, wakamdhihaki, wakampiga.


Bassi Herode akamtweza pamoja na askari zake akamdhihaki, akamvika mavazi mazurimazuri, akamrudisha kwa Pilato.


Askari wakamdhihaki, wakimjia, wakimpa siki, na kusema,


Lakini ile jawabu yamwanibiaje? Nimejisazia watu elfu saba wasiopiga goti mbele ya Baal.


illi kwa jina la Yesu killa goti likunjwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya inchi;


Bassi na twende kwake nje ya kituo, tukichukua laumu lake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo