Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 15:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 wakaanza kumsalimu, Salamu Mfalme wa Wayahudi!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Wakaanza kumsalimu, “Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Wakaanza kumsalimu, “Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Wakaanza kumsalimu, “Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili




Marko 15:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakasokota taji ya miiba, wakaiweka juu ya kichwa chake, na unyasi katika mkono wake wa kuume; wakapiga magoti mbele yake, wakamfanyizia dhihaka, wakinena, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!


Wakamvika vazi jekundu, wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani;


Wakampiga kichwa kwa unyasi, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudu.


Pilato akamwuliza, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajihu, akamwambia, wewe unasema.


wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi! wakimpiga makofi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo