Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 15:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Pilato akajibu tena akawaambia, Bassi wataka nimtendeni huyu mnenae kuwa Mfalme wa Wayahudi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Pilato akawauliza tena, “Basi, sasa mwataka nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Pilato akawauliza tena, “Basi, sasa mwataka nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Pilato akawauliza tena, “Basi, sasa mwataka nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka nifanye nini na huyu mtu mnayemwita mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka nifanye nini na huyu mtu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili




Marko 15:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mwambieni binti Sayuni, Tazama, mfalme wako anakuja kwako, Mpole, amepanda punda, Na mwana punda, mtoto wa punda.


Makuhani wakuu wakawataharakisha makutano, illi apende kuwafungulia Barabba.


Wakapiga kelele tena, Msulibishe.


Wakaanza kumshitaki, wakisema, Tumemwona mtu huyu amipotosha taifa letu, anawakataza watu wasimpe Kaisari kodi, akisema ya kwamba yeye mwenyewe yu Kristo, mfalme.


Mtu kuyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toha na masamaha ya dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo