Marko 15:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Kwa maana alifahamu ya kuwa makuhani wakuu wamemtoa kwa husuda. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi Yesu kwake kwa sababu ya wivu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi Yesu kwake kwa sababu ya wivu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi Yesu kwake kwa sababu ya wivu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kwa maana yeye alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa wamemtia Isa mkononi mwake kwa ajili ya wivu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kwa maana yeye alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa wamemtia Isa mikononi mwake kwa ajili ya wivu. Tazama sura |