Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Ametenda alivyoweza; amenipaka mwili marhamu kwa ajili ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Yeye amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha kwa mazishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Yeye amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha kwa mazishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Yeye amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha kwa mazishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Huyu mwanamke amenitendea lile aliloweza. Ameumiminia mwili wangu manukato ili kuniandaa kwa maziko yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Huyu mwanamke amenitendea lile aliloweza. Ameumiminia mwili wangu manukato ili kuniandaa kwa maziko yangu.

Tazama sura Nakili




Marko 14:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Maana kwa kunimwagia mwili wangu marhamu hii, ametenda hivi illi kuniweka tayari kwa maziko yangu.


Hatta ikiisba kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato,


Akaushusha, akauzinga nguo za katani, akauweka katika kaburi lililochongwa mwambani; hajawekwa mtu aliye yote ndani yake kamwe.


Bassi Yesu alisema, Mwache, ameyaweka haya kwa siku ya maziko yangu.


Maana, kama nia ipo, hukubaliwa kwa kadiri ya alivyo navyo mtu, si kwa kadiri ya asivyo navyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo