Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:65 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

65 Wengine wakaanza kumtemea mate, na kumfunika uso, na kumpiga konde, na kumwambia, Fanya unabii. Watumishi wakampiga makofi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

65 Basi, baadhi yao wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, wakampiga na kumwambia, “Bashiri ni nani amekupiga!” Hata watumishi wakamchukua, wakampiga makofi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

65 Basi, baadhi yao wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, wakampiga na kumwambia, “Bashiri ni nani amekupiga!” Hata watumishi wakamchukua, wakampiga makofi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

65 Basi, baadhi yao wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, wakampiga na kumwambia, “Bashiri ni nani amekupiga!” Hata watumishi wakamchukua, wakampiga makofi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

65 Kisha baadhi ya watu wakaanza kumtemea mate; wakamfunga kitambaa machoni, wakampiga kwa ngumi na kumwambia, “Tabiri!” Walinzi wakamchukua na kumpiga makofi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

65 Kisha baadhi ya watu wakaanza kumtemea mate; wakamfunga kitambaa machoni, wakampiga kwa ngumi na kumwambia, “Tabiri!” Walinzi wakamchukua na kumpiga makofi.

Tazama sura Nakili




Marko 14:65
17 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamtemea mate, wakautwaa ule unyasi, wakampiga kichwa.


na watamhukumu afe, watamtia mikononi mwa mataifa, nao watamdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumtemea mate, na kumwua: na siku ya tatu atafufuka.


Wakampiga kichwa kwa unyasi, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudu.


Aliposema maneno haya, mmoja wa wale watumishi aliyesimama karibu akampiga Yesu koli, akinena, Wamjibu hivi kuhani mkuu?


wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi! wakimpiga makofi.


Kuhani akawaamuru wale waliosimama karibu kumpiga kinywa chake.


tukimtazama Yesu, aliveianzisha imani yetu na kuitimiliza; ambae kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele zake aliuvumilia msalaba na kuidharau aibu, nae ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo