Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:64 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

64 Mmesikia kufuru yake; mwaonaje? Wote wakamhukumu kuwa amepasiwa kufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

64 Mmesikia kufuru yake! Nyinyi mwaonaje?” Wote wakaamua kwamba anastahili kuuawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

64 Mmesikia kufuru yake! Nyinyi mwaonaje?” Wote wakaamua kwamba anastahili kuuawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

64 Mmesikia kufuru yake! Nyinyi mwaonaje?” Wote wakaamua kwamba anastahili kuuawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

64 Ninyi mmesikia alivyokufuru. Uamuzi wenu ni gani?” Wote wakamhukumu kwamba anastahili kifo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

64 Ninyi mmesikia hayo makufuru. Uamuzi wenu ni gani?” Wote wakamhukumu kwamba anastahili kifo.

Tazama sura Nakili




Marko 14:64
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakasema, Bassi, mbona tunahitaji ushuhuda? Kwa maana sisi wenyewe tumesikia kwa kinywa chake.


Wayahudi wakamjibu, Sisi tuna sharia, na kwa sharia hiyo amepasiwa kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu.


Bassi kwa sababu hii Wayahudi wakazidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na haya alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo