Marko 14:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamwudhi? amenitendea kazi njema: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Lakini Yesu akawaambia, “Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Lakini Yesu akawaambia, “Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Lakini Yesu akawaambia, “Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Lakini Isa akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Mwacheni! Yeye amenitendea jambo zuri sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Lakini Isa akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Mwacheni! Yeye amenitendea jambo zuri sana. Tazama sura |