Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 maana marhamu hii ingalikuzwa kwa dinari mia tatu na kuzidi wakapewa maskini. Wakamnungʼunikia sana yule mwanamke.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha dinari 300, wakapewa maskini!” Wakamkemea huyo mama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha dinari 300, wakapewa maskini!” Wakamkemea huyo mama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha dinari 300, wakapewa maskini!” Wakamkemea huyo mama.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Manukato haya yangeuzwa kwa zaidi ya dinari mia tatu, na fedha hizo wakapewa maskini.” Wakamkemea vikali huyo mwanamke.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Mafuta haya yangeweza kuuzwa kwa zaidi ya dinari 300, na fedha hizo wakapewa maskini.” Wakamkemea vikali huyo mwanamke.

Tazama sura Nakili




Marko 14:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mtumishi yule akatoka, akamwona mmoja wa wajoli wake, aliyewiwa nae dinari mia; akamkamata, akamshika koo, akinena, Nilipe uwiwacho.


Wakiisha kupokea, wakamnungʼunikia mwenye nyumba,


Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.


Palikuwa na watu waliochukiwa katika nafsi zao wakisema, Ya nini kupoteza marhamu namna hii?


Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamwudhi? amenitendea kazi njema:


Mafarisayo na wandishi wakanungʼunika, wakasema, Huyu hukaribisha wenye dhambi, hula pamoja nao.


Maana wengine, kwa kuwa Yuda aliuchukua mfuko, walidhani ya kuwa Yesu alimwambia, Nunua tunavyovihitaji kwa siku kuu; au kwamba awape maskini kitu.


Bassi Yesu akajibu, akawaambia, Msinungʼunike ninyi kwa ninyi.


Filipo akamjibu, Mikate ya dinari miateen haiwatoshi, killa mmoja apate kidogo tu.


Wala msinungʼunike, kama wengine wao walivyommgʼunika, wakaharibiwa na mharabu.


Mwibaji asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akitenda kazi iliyo njema kwa mikono yake mwenyewe, apafe kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.


Yatendeni mambo yote pasipo manungʼuniko na mashindano,


Watu hawa ni wenye kunungʼunika, wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno ya kiburi makuu mno, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo