Marko 14:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 maana marhamu hii ingalikuzwa kwa dinari mia tatu na kuzidi wakapewa maskini. Wakamnungʼunikia sana yule mwanamke. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha dinari 300, wakapewa maskini!” Wakamkemea huyo mama. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha dinari 300, wakapewa maskini!” Wakamkemea huyo mama. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha dinari 300, wakapewa maskini!” Wakamkemea huyo mama. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Manukato haya yangeuzwa kwa zaidi ya dinari mia tatu, na fedha hizo wakapewa maskini.” Wakamkemea vikali huyo mwanamke. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mafuta haya yangeweza kuuzwa kwa zaidi ya dinari 300, na fedha hizo wakapewa maskini.” Wakamkemea vikali huyo mwanamke. Tazama sura |