Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:46 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

46 Wakanyosha mikono yao wakamkamata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Wale watu wakamkamata Isa, wakamweka chini ya ulinzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Wale watu wakamkamata Isa, wakamweka chini ya ulinzi.

Tazama sura Nakili




Marko 14:46
6 Marejeleo ya Msalaba  

Alipokuja, marra akamwendea, akasema, Rabbi, Rabbi; akambusu sana.


Na mmoja wao waliohudhuria akavuta upanga, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu, akamkata sikio.


Bassi kile kikosi na yule jemadari na wale watumishi wa Wayahudi wakamkamata Yesu, wakanifunga,


mtu huyu alitwaliwa nanyi kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake taugu zamani, nanyi mkamsulibisha kwa mikono mibaya, mkamwua:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo