Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 Hatta akaenda akawakuta wamelala tena, maana macho yao yanickuwa mazito, wala hawakujua la kumjibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito. Nao hawakujua la kumwambia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito. Nao hawakujua la kumwambia.

Tazama sura Nakili




Marko 14:40
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaenda zake fena, akaomha, akasema neno lili hili.


Akaja marra ya tatu, akawaambia, Laleni sasa, hatta mwisho, kapumzikeni: yatosha, saa imekuja; Mwana wa Adamu anatiwa mikononi mwao wenye dhambi.


Petro, nao waliokuwa pamoja nae, walikuwa wamelemewa sana na usingizi: lakini walipokwisha kuamka wakauona utukufu wake, na wale watu wawili, waliosimama pamoja nae.


Twajua ya kuwa mambo yote yasemwayo na torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, illi killa kinywa kifumbwe, ulimwengu wote ukapasiwe na hukumu ya Mungu:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo