Marko 14:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Palikuwa na watu waliochukiwa katika nafsi zao wakisema, Ya nini kupoteza marhamu namna hii? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika, wakajisemea, “Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika, wakajisemea, “Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika, wakajisemea, “Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Baadhi ya watu waliokuwa pale walikasirika na wakasemezana, “Upotevu huu wote wa manukato ni wa nini? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Baadhi ya watu waliokuwepo pale walikuwa wakisemezana wao kwa wao, “Upotevu huu wote ni wa nini? Tazama sura |