Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:39 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

39 Akaenda zake fena, akaomha, akasema neno lili hili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili




Marko 14:39
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mkiwa katika kusali, msipayukepayuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.


Kesheni, kasalini, msipate kuingia majaribuni: roho ina nia njema, hali mwili dhaifu.


Hatta akaenda akawakuta wamelala tena, maana macho yao yanickuwa mazito, wala hawakujua la kumjibu.


AKAWAAMBIA na mfano ya kama imewapasa kumwomba Mungu siku zote wala wasikate tamaa,


Kwa ajili ya kitu hiki nalimsihi Bwaua marra tatu kinitoke.


Yeye siku hizo za niwili wake alimtolea yeye awezae kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa sababu ya kicho chake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo