Marko 14:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192138 Kesheni, kasalini, msipate kuingia majaribuni: roho ina nia njema, hali mwili dhaifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.” Tazama sura |