Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Kesheni, kasalini, msipate kuingia majaribuni: roho ina nia njema, hali mwili dhaifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.”

Tazama sura Nakili




Marko 14:38
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kesheni bassi: kwa maana hamwijui saa atakayokuja Bwana wenu.


Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.


Kesheni, kaombeni, msije mkaingia majaribuni: Roho ina nia njema, bali mwili ni dhaifu.


Usitutie majaribuni, bali utuokoe na yule mwovu.


Akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa mkakeshe.


Akaenda akawakuta wamelala, akamwambia Petro, Simon, umelala? Hukuweza kukesha saa moja?


Akaenda zake fena, akaomha, akasema neno lili hili.


Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.


Alipofika pahali pale, akawaambia, Ombeni, msiingie majaribuni.


Mbona mnielala? Ondokeni, mkaombe, msipate kuingia majaribuni.


Kesheni, simameni imara katika Imani, mwe waume, mwe hodari.


Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho hushindana na mwili; kwa maana liizi zimepingana, hatta hamwezi kufanya nmayotaka.


Bassi, wapendwa, kama vile mlivyotii siku zote, si wakati mimi nilipokuwapo, bali sasa zaidi mimi nisipokuwapo, utimizeni wokofu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka;


Erevukeni, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Shetani, kama simba angurumae, huzungukazunguka, akitafuta mtu amle;


Kwa kuwa ulilishika neno la uvumilivu wangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kujaribiwa iliyo tayari kuujia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya inchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo