Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 Akaenda akawakuta wamelala, akamwambia Petro, Simon, umelala? Hukuweza kukesha saa moja?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Kisha akarudi kwa wanafunzi wale watatu, akawakuta wamelala. Basi, akamwuliza Petro, “Simoni, je, umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Kisha akarudi kwa wanafunzi wale watatu, akawakuta wamelala. Basi, akamwuliza Petro, “Simoni, je, umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Kisha akarudi kwa wanafunzi wale watatu, akawakuta wamelala. Basi, akamwuliza Petro, “Simoni, je, umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Akarudi kwa wanafunzi wake, akawakuta wamelala. Akamwambia Petro, “Simoni, umelala? Je, hukuweza kukesha hata kwa saa moja?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Akarudi kwa wanafunzi wake, akawakuta wamelala. Akamwambia Petro, “Simoni, umelala? Je, hukuweza kukesha hata kwa saa moja?

Tazama sura Nakili




Marko 14:37
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala.


Kisha akawaendea wale wanafunzi, akawakuta wamelala, akamwambia Petro, Je! hamkuweza kukesha pamoja nami hatta saa moja?


Akasema, Abba, Baba, yote yawezekana kwako; uniondolee kikomhe hiki: walakini, si nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.


Kesheni, kasalini, msipate kuingia majaribuni: roho ina nia njema, hali mwili dhaifu.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyavumilia mapingamizi makuu namna hii ya wenye dhambi juu ya nafsi zao, msije mkadhoofika mkizimia mioyoni mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo