Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa mkakeshe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Akawaambia, “Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa na kukesha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Akawaambia, “Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa na kukesha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Akawaambia, “Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa na kukesha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Akawaambia, “Moyo wangu umejawa na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mkeshe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Akawaambia, “Moyo wangu umejawa na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mkeshe.”

Tazama sura Nakili




Marko 14:34
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkakeshe pamoja nami.


Sasa roho yangu imefadhaika; niseme nini? Baba, uniokoe na saa hii. Lakini kwa ajili ya hayo naliifikia saa hii. Baba, ulitukuze jina lako.


Mwisho wa mamho yote umekaribia; bassi, mwe na akili, mkakeshe katika sala:


Erevukeni, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Shetani, kama simba angurumae, huzungukazunguka, akitafuta mtu amle;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo