Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura Nakili




Marko 14:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Toka wakati huo Yesu akaanza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemi, na kuteswa mengi na wazee na makuhani wakuu, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitatangulia mbele yenu kwenda Galilaya.


Yesu akawaambia, Msiogope: enendeni, mkawaambie ndugu zangu waemle Galilaya, ndiko watakakoniona.


Na wale wanafunzi edashara wakaenda Galilaya hatta mlima ule aliowaagiza Yesu.


Shikeni njia upesi, kawaambieni wanafunzi wake, Amefufuka katika wafu; Tazama, anatangulia mbele yenu kwenda Galilaya; huko mtamwona: haya, nimewaambieni.


Petro akamwambia, Wajapochukizwa wote, lakini sio mimi.


Lakini enendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya: huko mtamwona, kama alivyowaambia.


BAADA ya haya Yesu alijionyesha tena kwa wanafunzi wake, penye bahari ya Tiberia; nae alijionyesha hivi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo