Marko 14:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192125 Amin, nawaambieni, Sitakunywa tena kabisa uzao wa mzabibu, hatta siku ile nitakaponnywa mpya katika ufalme wa Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Amin, nawaambia, sitakunywa tena katika uzao wa mzabibu, hadi siku ile nitakapounywa mpya katika ufalme wa Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Amin, nawaambia, sitakunywa tena katika uzao wa mzabibu, hadi siku ile nitakapounywa mpya katika Ufalme wa Mwenyezi Mungu.” Tazama sura |