Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Akatwaa kikombe, akashukuru, akawapa; wakakinywea wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.

Tazama sura Nakili




Marko 14:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akatwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akinena, Nyweeni nyote hiki;


Nao wakila, akatwaa mkate, akahariki, akamega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ni mwili wangu.


Akawaambia, Hii ni damu yangu, ya agano jipya, imwagikayo kwa ajili ya watu wengi.


Akakipokea kikombe, akashukuru, akasema: Twaeni hiki mkagawanye ninyi kwa ninyi;


Yeye aadhimishae siku, kwa Bwana aiadhimisha; na yeye asiyeadhimisha siku, haiadhimishi kwa Bwana; nae alae, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; nae asiokula, hali kwa Bwana, nae amshukuru Mungu.


Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je! si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule timmegao, si ushirika wa mwili wti Kristo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo