Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Kwa maana walisema, Sio wakati wa siku kuu, isije ikawa fitina katika watu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Lakini walisema, “Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Lakini walisema, “Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Lakini walisema, “Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Lakini walisema, “Tusilifanye jambo hili wakati wa Sikukuu, maana watu wanaweza wakafanya ghasia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Lakini walisema, “Tusilifanye jambo hili wakati wa Sikukuu, maana watu wanaweza wakafanya ghasia.”

Tazama sura Nakili




Marko 14:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mwajua ya kuwa baada ya siku mbili itakuwa pasaka, na Mwana wa Adamu atasalitiwa apate kusulibiwa.


Wakanena, Sio wakati wa siku kuu, isije ikatokea ghasia katika watu.


Waandishi na makuhani wakini wakapata khabari wakatafuta jinsi ya kumwangamiza: maami walimwogopa, kwa sababu makutano yote walishangaa kwa elimu yake.


Bali tukisema, Ulitoka kwa wana Adamu—waliogopa watu: maana watu wote walimwona Yohana kuwa nabii kweli kweli.


BAADA ya siku mbili ilikuwa siku kuu ya Pasaka, na mikate isiyochachwa: makuhani wakuu na waandishi wakatafuta njia ya kumkamata kwa hila na kumwua.


Nae akiwapo Bethania, nyumbani mwa Simon mwenye ukoma, ameketi chakulani, akaja mwanamke mwenye kibweta cha alabastro cha marhamu ya hali udi, safi, ya thamani nyingi; akakivunja kibweta cha alabastro akaimimina kichwani pake.


Bali tukisema, Kwa wana Adamu, watu wote watatupiga mawe: kwa sababu wamesadiki ya kuwa Yohana ni nabii.


IKAKARIBIA siku kuu ya mikate isiyochachwa, iitwayo Pasaka.


Bassi Mafarisayo wakasemezana wao kwa wao, Mwaona kwamba hamfai neno: tazameni, ulimwengu umekwenda nyuma yake.


Bassi watu wengi katika makutano waliposikia neno lile, walinena, Huyu hakika yake ndiye nabii yule.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo