Marko 14:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 Kwa maana walisema, Sio wakati wa siku kuu, isije ikawa fitina katika watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Lakini walisema, “Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Lakini walisema, “Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Lakini walisema, “Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Lakini walisema, “Tusilifanye jambo hili wakati wa Sikukuu, maana watu wanaweza wakafanya ghasia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Lakini walisema, “Tusilifanye jambo hili wakati wa Sikukuu, maana watu wanaweza wakafanya ghasia.” Tazama sura |