Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia, mmoja mmoja, Ni mimi? na mwingine, Ni mimi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi, Bwana?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”

Tazama sura Nakili




Marko 14:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakahuzunika sana, wakaanza kumwambia mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Nao wakiisha kuketi chakulani, wakila, Yesu akasema, Amin, nawaambieni, mmoja wenu, nae anakula pamoja nami, atanisaliti.


Akawaamhia, Ni mmoja wa wathenashara, yeye achovyae pamoja nami katikakombe.


Wanafunzi wakatazamana, wakiona mashaka, ni nani anaemtaja,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo