Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 14:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Yuda Iskariote, mmoja wa wathenashara, akaenda zake kwa makuhani wakuu, apate kumsaliti kwao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alikwenda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alikwenda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alikwenda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti Isa kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti Isa kwao.

Tazama sura Nakili




Marko 14:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Simon Kananayo, na Yuda Iskariote, ndiye aliyemsaliti.


Nao waliposikia wakafurahi, wakaahidi kumpa fedha. Akatafuta njia ya kumsaliti wakati wa kufaa.


na Yuda Iskariote, ndiye aliyemsaliti.


Hatta wakati wa chakula cha jioni, Shetani alipokwisha kumtia Yuda, mwana wa Simon Iskariote, moyo wa kumsaliti,


Bassi huyu, akiisha kupokea lile tonge, akatoka marra hiyo; na ulikuwa usiku hapo alipotoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo