Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 13:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Tena mtakaposikia vita na khabari za vita, msitishwe: maana hayana buddi kutukia, lakini mwisho wenyewe bado.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mtakaposikia juu ya vita na fununu za vita, msifadhaike. Mambo hayo lazima yatokee, lakini mwisho wenyewe ungali bado.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mtakaposikia juu ya vita na fununu za vita, msifadhaike. Mambo hayo lazima yatokee, lakini mwisho wenyewe ungali bado.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mtakaposikia juu ya vita na fununu za vita, msifadhaike. Mambo hayo lazima yatokee, lakini mwisho wenyewe ungali bado.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Msikiapo habari za vita na uvumi wa vita, msiwe na hofu. Mambo haya hayana budi kutukia, lakini ule mwisho bado.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Msikiapo habari za vita na uvumi wa vita, msiwe na hofu. Mambo haya hayana budi kutukia, lakini ule mwisho bado.

Tazama sura Nakili




Marko 13:7
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ole wa ulimwengu kwa sababu ya mambo ya kukosesha! Maana hayana buddi kuja mambo ya kukosesha; lakini ole wake mtu yule aliletae jambo la kukosesha!


Mfalme Herode aliposikia haya, akafadhaika, na Yerusalemi pia pamoja nae.


Mimi ndiye: na watadanganya wengi.


Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme utapigana na ufalme: kutakuwa na matetemeko ya inchi mahali mahali; kutakuwa na njaa, na fitina: Hayo ndio mwanzo wa utungu.


MSIFADHAIKE mioyo yenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.


Amani nawaachieni; amani yangu nawatolea; si kama ulimwengu utoavyo, mimi nawatolea. Msifadhaike moyo wenu, wala msiwe na woga.


akiyafunua na kuwaeleza ya kwamba ilimpasa Kristo kuteswa, na kufufuka katika wafu; na ya kama, Yesu huyu ninaewapasha ninyi khabari zake ndiye Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo