Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 13:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Yesu akajibu, akaanza kuwaambia, Jihadharini, mtu asiwadanganye; kwa maana wengi watakuja kwa jina langu, wakinena,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Yesu akaanza kuwaambia, “Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Yesu akaanza kuwaambia, “Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Yesu akaanza kuwaambia, “Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Isa akawaambia: “Jihadharini mtu yeyote asiwadanganye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Isa akawaambia: “Jihadharini mtu yeyote asiwadanganye.

Tazama sura Nakili




Marko 13:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na nini dalili ya wakati hayo yote yatakapokuwa karibu kutimia?


Mimi ndiye: na watadanganya wengi.


Akasema, Jibadharini, msidanganyike; kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakinena, Mimi ndiye, na, Majira yamekaribia. Bassi, msiwafuate hawo.


Msidanganyike: mazumgumzo mabaya huharibu tabia njema.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo maana; maana kwa sababu ya haya ghadhabu ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Angalieni intu asiwateke kwa filosofia yake na madanganya matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wana Adamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


Mtu aliye yote asiwadanganye kwa njia yo yote, maana haiji isipokuja kwanza ile faraka, akafumiliwa yule mtu wa dhambi, mwana wa uharibifu,


WAPENZI, msiamini kiila rolio, bali zijaribuni roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uwongo wengi wametokea duniani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo