Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 13:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Kesheni bassi, kwa maana hamjui ajapo bwana wa nyumba, kwamba ni jioni, au usiku wa manane, au awikapo jogoo, an assubuhi:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Kesheni, basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda ikawa jioni, usiku wa manane, alfajiri au asubuhi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Kesheni, basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda ikawa jioni, usiku wa manane, alfajiri au asubuhi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Kesheni, basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda ikawa jioni, usiku wa manane, alfajiri au asubuhi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 “Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni lini mwenye nyumba atakaporudi: iwapo ni jioni, au ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo jogoo, au mapambazuko,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 “Basi kesheni kwa sababu hamjui ni lini mwenye nyumba atakaporudi: iwapo ni jioni, au ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo jogoo, au mapambazuko.

Tazama sura Nakili




Marko 13:35
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta zamu ya nne ya usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari.


Kesheni bassi: kwa maana hamwijui saa atakayokuja Bwana wenu.


Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angalijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliacha nyumba yake kuvunjwa.


Kwa sababu hii na ninyi mwe tayari; kwa sababu saa msiyodhani Mwana wa Adamu yuaja.


Angalieni, kesheni, ombeni, kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwa.


Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia Wote, Kesheni.


Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, Wewe leo, usiku huu, kabla ya kuwika jogoo marra mbili, utanikana marra tatu.


Akawaona wakitaahika kwa kuvuta makasia, kwa maana upepo ulikuwa wa mbisho; hatta yapata zamu ya nne ya usiku akawaendea akitemhea juu ya bahari; akataka kuwdpita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo