Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 13:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Angalieni, kesheni, ombeni, kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.

Tazama sura Nakili




Marko 13:33
19 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.


Bali ninyi mwe macho: nimekwisha kuwaonyeni yote mbele.


Na ninyi, bassi, mwe tayari, kwa sababu saa msiyodhani, Mwana wa Adamu yuaja.


Bali mvaeni Bwana Yesu, wala msitafakari mahitaji ya mwili, nisije mkawasha tamaa zake.


Kesheni, simameni imara katika Imani, mwe waume, mwe hodari.


kwa sala zote na kuomha mkisali killa wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo, mkifanya juhudi sana, na kuwaombea watakatifu wote,


Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba huku na shukrani,


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua watu wengi, wakatiwe najis kwa hilo.


Mwisho wa mamho yote umekaribia; bassi, mwe na akili, mkakeshe katika sala:


Erevukeni, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Shetani, kama simba angurumae, huzungukazunguka, akitafuta mtu amle;


Tazama, naja kama mwizi. Yu kheri akeshae, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi wakaone aibu yake.


Uwe mwenye kukesha, ukayaimarishe manibo yaliyosalia, yaliyo tayari kufa. Maana sikuona matendo yako kuwa yametimilika mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo