Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 13:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Bali ninyi mwe macho: nimekwisha kuwaonyeni yote mbele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Lakini nyinyi jihadharini. Mimi nimewaambieni mambo yote kabla hayajatokea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Lakini nyinyi jihadharini. Mimi nimewaambieni mambo yote kabla hayajatokea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Lakini nyinyi jihadharini. Mimi nimewaambieni mambo yote kabla hayajatokea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Hivyo jihadharini. Nimekwisha kuwaambia mambo haya yote mapema kabla hayajatukia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Hivyo jihadharini. Nimekwisha kuwaambia mambo haya yote mapema kabla hayajatukia.

Tazama sura Nakili




Marko 13:23
13 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, nimetangulia kuwaambieni.


Jihadharini na manabii wa uwongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa wa mwitu wakali.


kwa maana wataondoka Makristo wa nwongo, na manabii wa uwongo, watatoa ishara na ajabu, wapate kuwadanganya, kama yumkini, hatta wale wateule.


Lakini siku hizo baada ya shidda ile jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake,


Angalieni, kesheni, ombeni, kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwa.


Yesu akajibu, akaanza kuwaambia, Jihadharini, mtu asiwadanganye; kwa maana wengi watakuja kwa jina langu, wakinena,


Nanyi jihadharini nafsi zenu; maana watawapelekeni maharazani: na katika masunagogi mtapigwa: na mtachukuliwa mbele za maliwali na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao.


Bassi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi na ulevi, na masumbufu ya maisha haya,


Akasema, Jibadharini, msidanganyike; kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakinena, Mimi ndiye, na, Majira yamekaribia. Bassi, msiwafuate hawo.


Na sasa nimewaambieni kabla haijawa, kusudi iwapo, mwamini.


Bassi, wapenzi, mkitangulla kujua haya, jilindeni nafsi zenu, msije mkachukuliwa na kosa la hawo wakhalifu, mkaanguka na kuuacha uthubutifu wenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo