Marko 13:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Lakini mlionapo chukizo la uharibifu (lile lililoneuwa ua nabii Danieli) likisimama pasipolipasa (asomae na afahamu) ndipo walio katika Yahudi wakimbilie milimani; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 “Mtakapoona ‘Chukizo Haribifu limesimama mahali ambapo si pake, (msomaji na atambue maana yake), hapo, walioko Yudea wakimbilie milimani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 “Mtakapoona ‘Chukizo Haribifu limesimama mahali ambapo si pake, (msomaji na atambue maana yake), hapo, walioko Yudea wakimbilie milimani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 “Mtakapoona ‘Chukizo Haribifu’ limesimama mahali ambapo si pake, (msomaji na atambue maana yake), hapo, walioko Yudea wakimbilie milimani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 “Mtakapoona ‘chukizo la uharibifu’ limesimama mahali pasipolipasa (asomaye na afahamu), basi wale walio Yudea wakimbilie milimani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 “Mtakapoona ‘chukizo la uharibifu’ limesimama mahali pasipolipasa (asomaye na afahamu), basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani. Tazama sura |