Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 12:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili




Marko 12:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu mwenye nyumba, nae alipanda mizabibu, akazungusha uzio, akachimba shimo ndani yake, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Wakamkamata, wakamtupa uje ya shamba la mizabibu, wakamwua.


Wale wakulima wakasemezana, Huyu ni mrithi; haya, na tumwue, na urithi utakuwa wetu.


Bassi atafanyani yule Bwana wa mizabibu? Atakuja na kuwaangamiza wale wakulima, na lile shamba la mizabibu atawapa watu wengine.


Wakamtupa nje ya shamba la mizabibu wakamwua. Bassi yule bwana wa shamba la mizabibu atawatendani?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo