Marko 12:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192127 Yeye si Mungu wa wafu, bali wa wahayi. Kwa hiyo mwajidanganya sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Nyinyi mmekosea sana.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Nyinyi mmekosea sana.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Nyinyi mmekosea sana.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea kabisa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea kabisa.” Tazama sura |