Marko 12:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192124 Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hamjidanganyi kwa sababu hii, kwa kuwa bamyajui maandiko wala uweza wa Mungu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Yesu akawaambia, “Nyinyi mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Yesu akawaambia, “Nyinyi mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Yesu akawaambia, “Nyinyi mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Isa akawajibu, “Je, hampotei kwa sababu hamfahamu Maandiko wala uweza wa Mungu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Isa akawajibu, “Je, hampotoki kwa sababu hamfahamu Maandiko wala uweza wa Mungu? Tazama sura |