Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 12:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 wakamwuliza wakinena, Mwalimu, Musa alituandikia ya kwamba ndugu ya mtu akifa, akamwacha mke wake wala hana mtoto, ndugu yake amtwae yule mke wake akampatie ndugu yake mzao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 “Mwalimu, Mose alituagiza hivi: ‘Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane, ili ampatie ndugu yake watoto.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 “Mwalimu, Mose alituagiza hivi: ‘Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane, ili ampatie ndugu yake watoto.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 “Mwalimu, Mose alituagiza hivi: ‘Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane, ili ampatie ndugu yake watoto.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 wakasema, “Mwalimu, Musa alituandikia kuwa kama ndugu wa mtu akifa na kumwacha mkewe bila mtoto, basi huyo mtu inampasa amwoe huyo mjane ili amzalie ndugu yake watoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 wakasema, “Mwalimu, Musa alituandikia kuwa kama ndugu wa mtu akifa na kumwacha mkewe bila mtoto, basi huyo mtu inampasa amwoe huyo mjane ili amzalie ndugu yake watoto.

Tazama sura Nakili




Marko 12:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi palikuwa na ndugu saba; wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzao.


Bassi katika kiyama, atakuwa mke wa nani katika hawo? maana wale saba walikuwa nae.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo