Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 12:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Neno hili limetoka kwa Bwana Nalo ni ajabu machoni petu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mwenyezi Mungu ndiye alitenda jambo hili, nalo ni la kushangaza machoni petu’?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mwenyezi Mungu ndiye alitenda jambo hili, nalo ni ajabu machoni petu’?”

Tazama sura Nakili




Marko 12:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hili lilikuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?


Wakashangaa wote wakaingiwa na mashaka, wakaambiana, Maana yake nini mambo haya?


ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu;


Na bila shaka siri ya utawa ni kuu. Mungu alidhibirishwa katika mwili, alihesabiwa kuwa na wema katika roho, alionekana na malaika, alikhubiriwa katika mataifa, aliaminiwa katika ulimwengu, alichukuliwa juu katika utukufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo