Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 11:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Baadhi ya watu waliosimama huko wakawaamhia, Mnafanyani mkimfungua mwana punda?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwanapunda?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwanapunda?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwanapunda?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwana-punda?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Mna maana gani mnapomfungua huyo mwana-punda?”

Tazama sura Nakili




Marko 11:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

akiwaambia, Enendeni zenu hatta kijiji kile kinachowakabili, na marra mtaona punda amefungwa, na mwana punda pamoja nae: mfungueni mkaniletee.


Wakaenda zao, wakamwona mwana punda amefungwa penye mlango, nje katika njia kuu, wakamfungua.


Wakawaambia kama Yesu alivyowaagiza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo