Marko 11:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192132 Bali tukisema, Ulitoka kwa wana Adamu—waliogopa watu: maana watu wote walimwona Yohana kuwa nabii kweli kweli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Na tukisema, ‘Yalitoka kwa watu (Waliogopa umati wa watu maana wote waliamini kwamba Yohane alikuwa kweli nabii.) Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Na tukisema, ‘Yalitoka kwa watu (Waliogopa umati wa watu maana wote waliamini kwamba Yohane alikuwa kweli nabii.) Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Na tukisema, ‘Yalitoka kwa watu…’” (Waliogopa umati wa watu maana wote waliamini kwamba Yohane alikuwa kweli nabii.) Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu’ ” (waliwaogopa watu, kwa sababu kila mtu aliamini kwamba Yahya alikuwa nabii wa kweli); Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’…” (Waliwaogopa watu, kwa sababu kila mtu aliamini kwamba Yahya alikuwa nabii wa kweli.) Tazama sura |