Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 11:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Kwa mamlaka gani utendayo haya? Na ni nani aliyekupa mamlaka hii uyatende haya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 wakamwuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 wakamwuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 wakamwuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Wakamuuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya hayo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Wakamuuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya hayo?”

Tazama sura Nakili




Marko 11:28
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafika Yerusalemi tena: hatta alipokuwa akitembea hekaluni, makuhani wakuu na waandishi na wuizee wakamwambia,


Yesu akajibu akawaambia, Mimi nami nitawauliza neno moja, nanyi nijibuni, kiisha nitawaambieni kwa mamlaka gani nitendayo haya.


Enyi wenye shingo gumu, msiotahiriwa mioyo wala masikio, siku zote mnampinga Roho Mtakatifu; kama baba zenu walivyofanya na ninyi vivyo hivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo